Stone City FC

We Love Football.
  • HOSTELI

    Malengo yetu makubwa ni kujenga Hosteli za kisasa kwaajili ya Timu.

  • UWEKEZAJI

    Uwekezaji wa vitega uchumi mbalimbali ni nguzo tutakayo isimamia kwaajili ya Timu.

  • WACHEZAJI

    Nguvu kubwa tunaiwekeza kwa wachezaji wa ndani ili kukuza soka letu.

  • USAFIRI

    Timu yetu itajitahidi kuwekeza katika usafiri ili kurahisisha safari zetu.

  • KIMATAIFA

    Malengo yetu ni kushiriki mashindano ya kimataifa.

  • TAALUMA

    Tunazingatia tafiti za kisoka ili kwenda kisasa.

  • SHABIKI

    Shabiki kwetu ni wamuhimu,karibuni sana.

  • USALAMA

    Usalama wa Wachezaji pamoja na afya unazingatiwa.

    MAFANIKIO YETU

    00050

    Michezoya kirafiki

    000025

    Idadi ya wachezaji

    00055

    Miundombinu

    00050

    Mipango mipya

    Habari Mpya.

    Tunazingatia kukupa taarifa kwasababu wewe ni wamuhimu kwetu.
    No posts.
    No posts.

    Stone City Fc

    • Street :Iringa Tanzania
    • Football :Club
    • Phone :+255762096087
    • Country :Tanzania
    • Email :stonecityfciringa@gmail.com

    Get in Touch

    Kuwa Huru kuwasiliana nasi

    Name*


    Message*


    Feel free To Contact

    Kuwa Huru kuwasiliana nasi muda wowote,tupo tayari kukusikiliza masaa 24!

    • Iringa Tanzania.
    • +255684844579
    • stonecityfciringa@gmail.com
    • www.stonecityfc.co.tz

    Pages